Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Venance Mabeyo akiteta jambo baada ya uwekaji wa jiwe la msingi kwenye mradi wa umwagiliaji unaotekelezwa na JKT katika Kikosi chake cha Chita Moani Morogoro.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Jenerali Venance Mabeyo akiteta jambo baada ya uwekaji wa jiwe la msingi kwenye mradi wa umwagiliaji unaotekelezwa na JKT katika Kikosi chake cha Chita Moani Morogoro.
JKT huwajenga vijana kuwa waaminifu, wakweli na wakutegemewa na Taifa
Kuandaa vijana kuwa jamii yenye mshikamano na umoja wa kitaifa bila kujali itikadi zao za kitamaduni, kisiasa na kidini.
Kuandaa vijana kuwa na moyo wa kujituma na kujitolea.
Huwaandaa vijana wawe na moyo wa uzalendo, udugu na kuipenda nchi yao.
Kuwafundisha vijana kuwa watiifu na wenye heshima.
Kuwaanda vijana kuwa jamii yenye kutekeleza wajibu na moyo wa kupenda kufanya kazi