
Super User
Ziara ya Mkuu wa tawi la Utawala JKT,Kanali Charles Mbuge katika eneo la Chamwino Mkoani Dodoma kujionea maendeleo ya ujenzi wa ofisi za MMJKT.kama picha inavyoonekana hapo chini.
Ziara ya Mkuu wa tawi la Utawala JKT,Kanali Charles Mbuge katika eneo la Chamwino Mkoani Dodoma kujionea maendeleo ya ujenzi wa ofisi za MMJKT
.
Katibu mkuu Wizara ya Ulinzi na JKT, DKT Florance Turuka, akisaini kitabu cha wageni katika Kikosi cha Itende Mbeya, kwenye kuaga miili ya askari na vijana waliofariki kwa ajali mkoani humo.
.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Martin Busungu, akitoa salamu za mwisho kwa askari na vijana wa JKT waliofariki kwa ajali mkoani Mbeya.