Tafadhali bonyeza jina la kikosi kutafuta jina lako
BULOMBORA -KIGOMA | RWAMKOMA - MUSOMA | KANEMBWA |
MSANGE - TABORA | MAKUTOPORA - DODOMA | RUVU - PWANI |
MGAMBO - TANGA | MARAMBA - TANGA | MLALE - SONGEA |
MAFINGA - IRINGA | MTABILA - KIGOMA |
Tafadhali bonyeza jina la kikosi kutafuta jina lako
BULOMBORA -KIGOMA | RWAMKOMA - MUSOMA | KANEMBWA |
MSANGE - TABORA | MAKUTOPORA - DODOMA | RUVU - PWANI |
MGAMBO - TANGA | MARAMBA - TANGA | MLALE - SONGEA |
MAFINGA - IRINGA | MTABILA - KIGOMA |
Kupitia mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa, hatimaye Tanzania iwe ni jamii yenye nidhamu, umoja, uzalendo, undugu, wakakamavu na kupenda kazi.
Kuwalea vijana wa Tanzania, kinidhamu, uzalendo, ukakamavu na kuwafundisha ujuzi na hatimaye kuchangia katika ulinzi wa Taifa na maendeleo ya kiuchumi
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Charles Mbuge akimkabidhi zawadi Mwambata Jeshi wa Misri Nchini Brigedia Jenerali Khaled Mousbah baada ya kikao cha Mashirik...
|
Wizara ya Ulinzi |
|
Jeshi la Wananchi |
|
Shirika la NYUMBU |
|
SUMA JKT |
![]() |
Mzinga Corporation |
JKT huwajenga vijana kuwa waaminifu, wakweli na wakutegemewa na Taifa
Kuandaa vijana kuwa jamii yenye mshikamano na umoja wa kitaifa bila kujali itikadi zao za kitamaduni, kisiasa na kidini.
Kuandaa vijana kuwa na moyo wa kujituma na kujitolea.
Huwaandaa vijana wawe na moyo wa uzalendo, udugu na kuipenda nchi yao.
Kuwafundisha vijana kuwa watiifu na wenye heshima.
Kuwaanda vijana kuwa jamii yenye kutekeleza wajibu na moyo wa kupenda kufanya kazi